Isaya 54:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na wana wako wote+ watakuwa watu waliofundishwa na Yehova,+ na amani ya wana wako itakuwa nyingi.+ Isaya 66:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Tazama, mimi ninampa amani kama mto+ na utukufu wa mataifa kama mto unaofurika,+ nanyi hakika mtanyonya.+ Mtachukuliwa mkiwa ubavuni, nanyi mtapakatwa juu ya magoti.+ Waroma 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mungu anayetoa tumaini na awajaze ninyi shangwe yote na amani kwa kuamini kwenu, ili mzidi katika tumaini kwa nguvu za roho takatifu.+
13 Na wana wako wote+ watakuwa watu waliofundishwa na Yehova,+ na amani ya wana wako itakuwa nyingi.+
12 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Tazama, mimi ninampa amani kama mto+ na utukufu wa mataifa kama mto unaofurika,+ nanyi hakika mtanyonya.+ Mtachukuliwa mkiwa ubavuni, nanyi mtapakatwa juu ya magoti.+
13 Mungu anayetoa tumaini na awajaze ninyi shangwe yote na amani kwa kuamini kwenu, ili mzidi katika tumaini kwa nguvu za roho takatifu.+