Isaya 40:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 lakini wale wanaomtumaini+ Yehova watapata nguvu mpya.+ Wataruka juu kwa mabawa kama tai.+ Watakimbia wala hawatazimia; watatembea wala hawatachoka.”+ Waebrania 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini tunatamani kila mmoja wenu aonyeshe bidii ileile ili kuwa na uhakikisho kamili+ wa tumaini+ mpaka mwisho,+
31 lakini wale wanaomtumaini+ Yehova watapata nguvu mpya.+ Wataruka juu kwa mabawa kama tai.+ Watakimbia wala hawatazimia; watatembea wala hawatachoka.”+
11 Lakini tunatamani kila mmoja wenu aonyeshe bidii ileile ili kuwa na uhakikisho kamili+ wa tumaini+ mpaka mwisho,+