1 Wafalme 18:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na mkono wa Yehova ukawa juu ya Eliya,+ hivi kwamba akajifunga viuno,+ naye akakimbia mbele ya Ahabu mpaka Yezreeli.+ Zaburi 84:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wataendelea kutembea kutoka nguvu hata nguvu;+Kila mmoja huonekana mbele za Mungu katika Sayuni.+
46 Na mkono wa Yehova ukawa juu ya Eliya,+ hivi kwamba akajifunga viuno,+ naye akakimbia mbele ya Ahabu mpaka Yezreeli.+