Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Atawafanya wapole watembee katika uamuzi wake wa hukumu,+

      Naye atawafundisha wapole njia yake.+

  • Yeremia 31:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 “Nao hawatafundishana tena kila mtu na mwenzake wala kila mtu na ndugu yake,+ wakisema, ‘Mjueni Yehova!’+ kwa maana wote watanijua mimi, kuanzia yule aliye mdogo zaidi kati yao mpaka yule aliye mkubwa zaidi kati yao,”+ asema Yehova. “Kwa maana nitalisamehe kosa lao, na dhambi yao sitaikumbuka tena.”+

  • Yohana 6:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Imeandikwa katika Manabii, ‘Na wote watafundishwa na Yehova.’+ Kila mtu ambaye amesikia kutoka kwa Baba na ambaye amejifunza huja kwangu.+

  • Waebrania 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “ ‘Kwa maana hili ndilo agano nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,’ asema Yehova. ‘Nitazitia sheria zangu katika akili yao, nami nitaziandika katika mioyo yao.+ Nami nitakuwa Mungu wao,+ nao watakuwa watu wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki