Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 33:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nami nitawatakasa kutoka katika kosa lao lote ambalo kupitia hilo wamenitendea dhambi,+ nami nitayasamehe makosa yao yote ambayo kupitia hayo wamenitendea dhambi na ambayo kupitia hayo wamenikosea.+

  • Yeremia 50:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Na katika siku hizo na katika wakati huo,”+ asema Yehova, “kosa la Israeli litatafutwa,+ lakini halitakuwapo; na dhambi za Yuda,+ nazo hazitapatikana, kwa maana nitawasamehe wale nitakaowaacha wabaki.”+

  • Mika 7:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+

  • Mathayo 26:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 kwa maana hii inamaanisha+ ‘damu+ yangu ya agano,’+ ambayo itamwagwa kwa ajili ya wengi+ kwa msamaha wa dhambi.+

  • Waroma 11:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na hili ndilo agano kwa upande wangu pamoja nao,+ nitakapoondolea mbali dhambi zao.”+

  • Waebrania 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana nitaonyesha rehema kwa matendo yao yasiyo ya uadilifu, nami sitazikumbuka+ tena dhambi+ zao hata kidogo.’ ”

  • Waebrania 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi ndiyo sababu yeye ni mpatanishi+ wa agano jipya, ili, kwa sababu kifo kimetokea kwa ajili ya wao kuachiliwa huru kwa fidia+ kutoka kwenye makosa chini ya lile agano la zamani,+ wale ambao wameitwa waipokee ahadi ya urithi unaodumu milele.+

  • Waebrania 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 inasema baadaye: “Nami sitazikumbuka tena dhambi zao hata kidogo na matendo yao ya kuasi sheria.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki