Yeremia 50:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Siku hizo na wakati huo,” asema Yehova,“Hatia ya Israeli itatafutwa,Lakini hakutakuwa na hatia yoyote,Na dhambi za Yuda hazitapatikana,Kwa maana nitawasamehe wale nitakaowaacha wabaki.”+
20 “Siku hizo na wakati huo,” asema Yehova,“Hatia ya Israeli itatafutwa,Lakini hakutakuwa na hatia yoyote,Na dhambi za Yuda hazitapatikana,Kwa maana nitawasamehe wale nitakaowaacha wabaki.”+