19 Nami nitawapa moyo mmoja,+ nami nitaweka roho mpya ndani yao;+ nami hakika nitauondoa ule moyo wa jiwe kutoka katika mwili+ wao na kuwapa moyo wa nyama,+
29 Bali yeye ni Myahudi aliye hivyo kwa ndani,+ na kutahiriwa kwake ni kule kwa moyo+ kupitia roho, wala si kupitia sheria zilizoandikwa.+ Sifa+ ya mtu huyo hutoka, si kwa wanadamu, bali kwa Mungu.+