Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 51:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Uumbe moyo safi ndani yangu, Ee Mungu,+

      Na kuweka ndani yangu roho mpya, iliyo imara.+

  • Yeremia 31:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “Kwa maana hili ndilo agano+ nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,”+ asema Yehova. “Nitaitia sheria yangu ndani yao,+ nami nitaiandika katika moyo wao.+ Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+

  • Yeremia 32:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nami nitawapa moyo mmoja+ na njia moja ili waniogope sikuzote, iwe kwa mema yao na kwa mema ya wana wao baada yao.+

  • Ezekieli 36:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nanyi mtakumbuka njia zenu mbaya na matendo yenu ambayo hayakuwa mazuri,+ nanyi mtachukizwa na nafsi zenu wenyewe kwa sababu ya makosa yenu na kwa sababu ya machukizo yenu.+

  • Waefeso 4:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 bali kwamba mnapaswa kufanywa upya katika nguvu zinazoendesha akili yenu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki