19 Nami nitawapa moyo mmoja,+ nami nitaweka roho mpya ndani yao;+ nami hakika nitauondoa ule moyo wa jiwe kutoka katika mwili+ wao na kuwapa moyo wa nyama,+
31 Tupilieni mbali kutoka juu yenu makosa yenu yote mliyokosa+ na kujifanyia wenyewe moyo mpya+ na roho mpya,+ kwa maana kwa nini mfe,+ Ee nyumba ya Israeli?’
2 Na acheni kufanyizwa+ kulingana na mfumo huu wa mambo, bali mgeuzwe kwa kufanya upya akili yenu,+ ili mjihakikishie wenyewe+ mapenzi+ ya Mungu yaliyo mema na yenye kukubalika na makamilifu.