Yeremia 32:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nami nitawapa moyo mmoja+ na njia moja ili waniogope sikuzote, iwe kwa mema yao na kwa mema ya wana wao baada yao.+ Matendo 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye hakufanya tofauti hata kidogo kati yetu na wao,+ bali aliisafisha mioyo yao kwa imani.+ Waefeso 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana sisi ni matokeo ya kazi yake+ na tuliumbwa+ katika muungano+ na Kristo Yesu kwa ajili ya matendo mema,+ ambayo Mungu alitutayarishia kimbele+ ili tutembee katika hayo.
39 Nami nitawapa moyo mmoja+ na njia moja ili waniogope sikuzote, iwe kwa mema yao na kwa mema ya wana wao baada yao.+
10 Kwa maana sisi ni matokeo ya kazi yake+ na tuliumbwa+ katika muungano+ na Kristo Yesu kwa ajili ya matendo mema,+ ambayo Mungu alitutayarishia kimbele+ ili tutembee katika hayo.