Kumbukumbu la Torati 30:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Tazama, naweka mbele yako leo uzima na mema, na kifo na mabaya.+ Methali 8:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Lakini anayekosa kunipata anaifanyia nafsi yake jeuri;+ wale wote wanaonichukia vikali ndio wanaopenda kifo.”+ Matendo 13:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na kwa hiyo, wakiongea kwa ujasiri, Paulo na Barnaba wakasema: “Ilikuwa lazima neno la Mungu lihubiriwe kwenu kwanza.+ Kwa kuwa mnalisukumia mbali+ kutoka kwenu na hamjioni kuwa mnastahili uzima wa milele, tazameni! tunawageukia mataifa.+
36 Lakini anayekosa kunipata anaifanyia nafsi yake jeuri;+ wale wote wanaonichukia vikali ndio wanaopenda kifo.”+
46 Na kwa hiyo, wakiongea kwa ujasiri, Paulo na Barnaba wakasema: “Ilikuwa lazima neno la Mungu lihubiriwe kwenu kwanza.+ Kwa kuwa mnalisukumia mbali+ kutoka kwenu na hamjioni kuwa mnastahili uzima wa milele, tazameni! tunawageukia mataifa.+