Mathayo 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 bali, badala ya hivyo, nendeni kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.+ Matendo 3:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Baada ya kumwinua Mtumishi wake, Mungu alimtuma kwenu kwanza+ ili kuwabariki ninyi kwa kugeuzia mbali kila mmoja kutoka kwenye matendo yenu maovu.” Waroma 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana siionei aibu+ habari njema; kwa kweli, hiyo ni nguvu za Mungu+ kwa ajili ya wokovu kwa kila mtu aliye na imani,+ kwa Myahudi kwanza+ na pia kwa Mgiriki;+
26 Baada ya kumwinua Mtumishi wake, Mungu alimtuma kwenu kwanza+ ili kuwabariki ninyi kwa kugeuzia mbali kila mmoja kutoka kwenye matendo yenu maovu.”
16 Kwa maana siionei aibu+ habari njema; kwa kweli, hiyo ni nguvu za Mungu+ kwa ajili ya wokovu kwa kila mtu aliye na imani,+ kwa Myahudi kwanza+ na pia kwa Mgiriki;+