6 Sisi sote tumeenda huku na huku kama kondoo;+ sisi tumegeuka kwenda kila mmoja kwenye njia yake; na Yehova amefanya kosa letu sote likutane na huyo.+
6 Watu wangu wamekuwa kundi la viumbe vinavyoangamia.+ Wachungaji wao wamewafanya waende huku na huku.+ Wamewapeleka juu ya milima.+ Wameenda kutoka mlima mpaka kilima. Wamepasahau mahali pao pa kupumzika.+
6 Kondoo zangu waliendelea kupotea kwenye milima yote na juu ya kila kilima kirefu;+ na juu ya uso wote wa dunia kondoo zangu+ walitawanyika, pasipo mtu wa kutafuta wala mtu anayejitahidi kupata.
46 Na kwa hiyo, wakiongea kwa ujasiri, Paulo na Barnaba wakasema: “Ilikuwa lazima neno la Mungu lihubiriwe kwenu kwanza.+ Kwa kuwa mnalisukumia mbali+ kutoka kwenu na hamjioni kuwa mnastahili uzima wa milele, tazameni! tunawageukia mataifa.+