Zaburi 23:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ananilaza katika malisho yenye majani mengi;+Ananiongoza kando ya mahali pa kupumzika palipo na maji ya kutosha.+ Ezekieli 34:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “ ‘ “Nami nitafanya agano la amani pamoja nao,+ na hakika mimi nitamkomesha katika nchi mnyama-mwitu mwenye kudhuru,+ nao kwa kweli watakaa nyikani kwa usalama na kulala katika misitu.+
2 Ananilaza katika malisho yenye majani mengi;+Ananiongoza kando ya mahali pa kupumzika palipo na maji ya kutosha.+
25 “ ‘ “Nami nitafanya agano la amani pamoja nao,+ na hakika mimi nitamkomesha katika nchi mnyama-mwitu mwenye kudhuru,+ nao kwa kweli watakaa nyikani kwa usalama na kulala katika misitu.+