Ayubu 34:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yeye mwenyewe anaposababisha utulivu, ni nani, basi, anayeweza kulaumu?Na anapoficha uso wake,+ ni nani anayeweza kumwona,Iwe ni kuelekea taifa+ au ni kuelekea mwanadamu, yote yakiwa ni mamoja? Ezekieli 34:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nami nitawatoa+ kutoka kwa vikundi vya watu na kuwakusanya pamoja kutoka katika zile nchi na kuwaleta kwenye nchi yao+ na kuwalisha kwenye milima ya Israeli, kando ya vijito na kando ya makao yote ya nchi.+
29 Yeye mwenyewe anaposababisha utulivu, ni nani, basi, anayeweza kulaumu?Na anapoficha uso wake,+ ni nani anayeweza kumwona,Iwe ni kuelekea taifa+ au ni kuelekea mwanadamu, yote yakiwa ni mamoja?
13 Nami nitawatoa+ kutoka kwa vikundi vya watu na kuwakusanya pamoja kutoka katika zile nchi na kuwaleta kwenye nchi yao+ na kuwalisha kwenye milima ya Israeli, kando ya vijito na kando ya makao yote ya nchi.+