Ezekieli 34:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nitawatoa katika mataifa na kuwakusanya pamoja kutoka katika nchi hizo na kuwaleta katika nchi yao na kuwalisha kwenye milima ya Israeli,+ kando ya vijito na kando ya makao yote nchini. Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 34:13 Ibada Safi, uku. 105
13 Nitawatoa katika mataifa na kuwakusanya pamoja kutoka katika nchi hizo na kuwaleta katika nchi yao na kuwalisha kwenye milima ya Israeli,+ kando ya vijito na kando ya makao yote nchini.