Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 23:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Kisha nitawakusanya kondoo wangu waliobaki kutoka katika nchi zote ambako nilikuwa nimewatawanya,+ nami nitawarudisha kwenye malisho yao,+ nao watazaana na kuwa wengi.+

  • Ezekieli 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Kwa hiyo waambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Pia nitawakusanya ninyi kutoka kwa mataifa na kuwakusanya kutoka katika nchi ambazo mmetawanywa, nami nitawapa nchi ya Israeli.+

  • Amosi 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nitawakusanya na kuwarudisha watu wangu Waisraeli walio utekwani,+

      Nao watajenga upya majiji yaliyoachwa ukiwa na kuishi humo;+

      Watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake,+

      Nao watalima bustani za matunda na kula matunda yake.’+

  • Mika 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wachunge watu wako kwa fimbo yako, kundi la urithi wako,+

      Yule aliyekuwa akiishi peke yake msituni—katika shamba la matunda.

      Waache wale Bashani na Gileadi+ kama ilivyokuwa siku za kale.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki