Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Siku hiyo Yehova ataunyoosha tena mkono wake, mara ya pili, ili kuwakomboa watu wake waliobaki kutoka Ashuru,+ kutoka Misri,+ kutoka Pathrosi,+ kutoka Kushi,+ kutoka Elamu,+ kutoka Shinari,*+ kutoka Hamathi, na kutoka katika visiwa vya bahari.

  • Isaya 35:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wale waliokombolewa na Yehova watarudi+ na kuja Sayuni kwa kilio cha shangwe.+

      Shangwe isiyo na kikomo itakuwa taji la vichwa vyao.+

      Watapata shangwe na furaha,

      Na huzuni na kilio cha uchungu vitatoweka.+

  • Yeremia 29:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nitawaruhusu mnipate,’+ asema Yehova. ‘Nami nitawakusanya mateka wenu na kuwakusanya ninyi pamoja kutoka katika mataifa yote na sehemu zote nilizowatawanya,’+ asema Yehova. ‘Nami nitawarudisha mahali nilipowatoa nikawapeleka uhamishoni.’+

  • Yeremia 31:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ninawarudisha kutoka nchi ya kaskazini.+

      Nitawakusanya pamoja kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+

      Miongoni mwao kutakuwa na vipofu na vilema,+

      Mwanamke mwenye mimba na yule anayezaa, wote pamoja.

      Watarudi hapa wakiwa kutaniko kubwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki