Danieli 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Niliona maono hayo, na nilipokuwa nikiyaona nilikuwa katika ngome ya* Shushani,*+ iliyo katika mkoa wa* Elamu;+ niliona maono hayo, nami nilikuwa kando ya mfereji wa maji wa Ulai.
2 Niliona maono hayo, na nilipokuwa nikiyaona nilikuwa katika ngome ya* Shushani,*+ iliyo katika mkoa wa* Elamu;+ niliona maono hayo, nami nilikuwa kando ya mfereji wa maji wa Ulai.