Danieli 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nami nikaanza kuona katika maono hayo; ikawa kwamba, nilipokuwa nikiona, nilikuwa katika ngome ya Shushani,+ iliyo katika wilaya ya utawala ya Elamu;+ nami nikaona katika maono hayo, nami nilikuwa kando ya mfereji wa Ulai.+ Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 8:2 dp 165-166 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:2 Unabii wa Danieli, kur. 165-166
2 Nami nikaanza kuona katika maono hayo; ikawa kwamba, nilipokuwa nikiona, nilikuwa katika ngome ya Shushani,+ iliyo katika wilaya ya utawala ya Elamu;+ nami nikaona katika maono hayo, nami nilikuwa kando ya mfereji wa Ulai.+