Danieli 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Niliona maono hayo, na nilipokuwa nikiyaona nilikuwa katika ngome ya* Shushani,*+ iliyo katika mkoa wa* Elamu;+ niliona maono hayo, nami nilikuwa kando ya mfereji wa maji wa Ulai. Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 8:2 dp 165-166 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:2 Unabii wa Danieli, kur. 165-166
2 Niliona maono hayo, na nilipokuwa nikiyaona nilikuwa katika ngome ya* Shushani,*+ iliyo katika mkoa wa* Elamu;+ niliona maono hayo, nami nilikuwa kando ya mfereji wa maji wa Ulai.