Nehemia 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Maneno ya Nehemia*+ mwana wa Hakalia: Sasa katika mwezi wa Kislevu,* mwaka wa 20, mimi nilikuwa katika ngome ya* Shushani.*+ Esta 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Amri na sheria ya mfalme ilipotangazwa na wasichana wengi kukusanywa kwenye ngome ya* Shushani* chini ya utunzaji wa Hegai,+ Esta pia alipelekwa kwenye nyumba ya* mfalme chini ya utunzaji wa Hegai mlinzi wa wanawake.
1 Maneno ya Nehemia*+ mwana wa Hakalia: Sasa katika mwezi wa Kislevu,* mwaka wa 20, mimi nilikuwa katika ngome ya* Shushani.*+
8 Amri na sheria ya mfalme ilipotangazwa na wasichana wengi kukusanywa kwenye ngome ya* Shushani* chini ya utunzaji wa Hegai,+ Esta pia alipelekwa kwenye nyumba ya* mfalme chini ya utunzaji wa Hegai mlinzi wa wanawake.