15 Wajumbe wakaondoka haraka+ kulingana na agizo la mfalme; sheria hiyo ilitolewa katika ngome ya* Shushani.*+ Kisha mfalme na Hamani wakaketi ili kunywa, lakini kulikuwa na hali ya wasiwasi katika jiji la Shushani.*
2 Niliona maono hayo, na nilipokuwa nikiyaona nilikuwa katika ngome ya* Shushani,*+ iliyo katika mkoa wa* Elamu;+ niliona maono hayo, nami nilikuwa kando ya mfereji wa maji wa Ulai.