Esta 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wajumbe hao wakaondoka, wakaenda haraka+ kwa sababu ya neno la mfalme, na sheria hiyo ikatolewa katika ngome ya Shushani.+ Naye mfalme pamoja na Hamani wakaketi ili kunywa;+ bali jiji la Shushani+ likavurugika.+ Esta Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 3:15 w11 10/1 22 Esta Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:15 Igeni, kur. 131-132 Mnara wa Mlinzi,10/1/2011, kur. 21-22
15 Wajumbe hao wakaondoka, wakaenda haraka+ kwa sababu ya neno la mfalme, na sheria hiyo ikatolewa katika ngome ya Shushani.+ Naye mfalme pamoja na Hamani wakaketi ili kunywa;+ bali jiji la Shushani+ likavurugika.+