Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Wana wa Shemu walikuwa Elamu,+ Asihuru,+ Arpakshadi,+ Ludi, na Aramu.+

  • Isaya 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Siku hiyo Yehova ataunyoosha tena mkono wake, mara ya pili, ili kuwakomboa watu wake waliobaki kutoka Ashuru,+ kutoka Misri,+ kutoka Pathrosi,+ kutoka Kushi,+ kutoka Elamu,+ kutoka Shinari,*+ kutoka Hamathi, na kutoka katika visiwa vya bahari.

  • Isaya 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nimeambiwa maono ya kutisha:

      Mwenye hila anatenda kwa hila,

      Na mwangamizaji, anaangamiza.

      Nenda juu, ewe Elamu! Zingira, ewe Umedi!+

      Nitakomesha kilio chote cha uchungu alichosababisha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki