Mwanzo 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Wana wa Shemu walikuwa Elamu,+ Asihuru,+ Arpakshadi,+ Ludi, na Aramu.+ Isaya 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Siku hiyo Yehova ataunyoosha tena mkono wake, mara ya pili, ili kuwakomboa watu wake waliobaki kutoka Ashuru,+ kutoka Misri,+ kutoka Pathrosi,+ kutoka Kushi,+ kutoka Elamu,+ kutoka Shinari,*+ kutoka Hamathi, na kutoka katika visiwa vya bahari. Isaya 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nimeambiwa maono ya kutisha: Mwenye hila anatenda kwa hila,Na mwangamizaji, anaangamiza. Nenda juu, ewe Elamu! Zingira, ewe Umedi!+ Nitakomesha kilio chote cha uchungu alichosababisha.+
11 Siku hiyo Yehova ataunyoosha tena mkono wake, mara ya pili, ili kuwakomboa watu wake waliobaki kutoka Ashuru,+ kutoka Misri,+ kutoka Pathrosi,+ kutoka Kushi,+ kutoka Elamu,+ kutoka Shinari,*+ kutoka Hamathi, na kutoka katika visiwa vya bahari.
2 Nimeambiwa maono ya kutisha: Mwenye hila anatenda kwa hila,Na mwangamizaji, anaangamiza. Nenda juu, ewe Elamu! Zingira, ewe Umedi!+ Nitakomesha kilio chote cha uchungu alichosababisha.+