Isaya 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kuna maono magumu+ ambayo nimeambiwa: Mwenye kutenda kwa hila anatenda kwa hila, na mporaji anapora.+ Nenda juu, Ee Elamu! Zingira, Ee Umedi!+ Nimekomesha kuugua kote kunakosababishwa naye.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 21:2 ip-1 216-217; dp 110 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 21:2 Unabii wa Isaya 1, kur. 216-217 Unabii wa Danieli, uku. 110
2 Kuna maono magumu+ ambayo nimeambiwa: Mwenye kutenda kwa hila anatenda kwa hila, na mporaji anapora.+ Nenda juu, Ee Elamu! Zingira, Ee Umedi!+ Nimekomesha kuugua kote kunakosababishwa naye.+