Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 51:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Isugueni mishale.+ Jazeni ngao za mviringo. Yehova ameiamsha roho ya wafalme wa Wamedi,+ kwa sababu wazo lake liko juu ya Babiloni,+ ili kumharibu. Kwa maana hicho ni kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake.+

  • Yeremia 51:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Takaseni juu yake mataifa, wafalme wa Umedi,+ magavana wake na watawala-wasaidizi wake wote na nchi yote ya mamlaka ya kila mmoja.

  • Danieli 5:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “PERESI, ufalme wako umegawanywa na kupewa Wamedi na Waajemi.”+

  • Danieli 8:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Yule kondoo-dume uliyemwona mwenye pembe mbili anawakilisha wafalme wa Umedi na Uajemi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki