Yeremia 51:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Isugueni mishale.+ Jazeni ngao za mviringo. Yehova ameiamsha roho ya wafalme wa Wamedi,+ kwa sababu wazo lake liko juu ya Babiloni,+ ili kumharibu. Kwa maana hicho ni kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake.+ Yeremia 51:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Takaseni juu yake mataifa, wafalme wa Umedi,+ magavana wake na watawala-wasaidizi wake wote na nchi yote ya mamlaka ya kila mmoja. Danieli 5:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “PERESI, ufalme wako umegawanywa na kupewa Wamedi na Waajemi.”+ Danieli 8:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Yule kondoo-dume uliyemwona mwenye pembe mbili anawakilisha wafalme wa Umedi na Uajemi.+
11 “Isugueni mishale.+ Jazeni ngao za mviringo. Yehova ameiamsha roho ya wafalme wa Wamedi,+ kwa sababu wazo lake liko juu ya Babiloni,+ ili kumharibu. Kwa maana hicho ni kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake.+
28 Takaseni juu yake mataifa, wafalme wa Umedi,+ magavana wake na watawala-wasaidizi wake wote na nchi yote ya mamlaka ya kila mmoja.