Yeremia 50:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Kwa hiyo sikieni shauri+ la Yehova ambalo ametunga juu ya Babiloni+ na mawazo yake ambayo amefikiri juu ya nchi ya Wakaldayo.+ Hakika wale wadogo wa kundi watakokotwa huku na huku.+ Hakika kwa sababu yao atayafanya makao yao kuwa ukiwa.+
45 Kwa hiyo sikieni shauri+ la Yehova ambalo ametunga juu ya Babiloni+ na mawazo yake ambayo amefikiri juu ya nchi ya Wakaldayo.+ Hakika wale wadogo wa kundi watakokotwa huku na huku.+ Hakika kwa sababu yao atayafanya makao yao kuwa ukiwa.+