20 Hatakaliwa kamwe,+ wala hatakuwa na makao kwa kizazi baada ya kizazi.+ Na hapo Mwarabu hatapiga hema lake, na hakuna wachungaji watakaoruhusu makundi yao kulala hapo.
43 Majiji yake yamekuwa kitu cha kushangaza, nchi isiyo na maji na nchi tambarare ya jangwani.+ Kama nchi, ndani yao hakuna mtu atakayekaa, na katikati yao hakuna mwana wa binadamu atakayepita.+