Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 14:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Nami nitasimama kupigana nao,”+ asema Yehova wa majeshi.

      “Nami nitakatilia mbali kutoka katika Babiloni jina+ na mabaki na watoto na wazao,”+ asema Yehova.

  • Yeremia 50:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana taifa limekuja juu yake kutoka kaskazini.+ Hilo ndilo linaloifanya nchi yake kuwa kitu cha kushangaza, hivi kwamba hakuna yeyote anayekaa ndani yake.+ Mwanadamu na pia mnyama wa kufugwa wamekimbia.+ Wameenda zao.”+

  • Yeremia 50:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa sababu ya ghadhabu ya Yehova yeye hatakaliwa,+ naye atakuwa mahame yenye ukiwa.+ Na yeyote anayepita kando ya Babiloni, atatazama kwa mshangao na kupiga mluzi kwa sababu ya mapigo yake yote.+

  • Yeremia 51:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Dunia itetemeke na kuwa katika maumivu makali,+ kwa maana fikira za Yehova zimeinuka juu ya Babiloni ili kuifanya nchi ya Babiloni kuwa kitu cha kushangaza, bila mkaaji.+

  • Ufunuo 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na malaika mwenye nguvu akainua jiwe kama jiwe kubwa la kusagia+ na kulitupa ndani ya bahari,+ akisema: “Hivi ndivyo Babiloni lile jiji kubwa litakavyotupwa chini kwa mtupo wa kasi sana, naye hatapatikana tena.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki