Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na Babiloni, lile pambo la falme,+ uzuri wa fahari ya Wakaldayo,+ litakuwa kama wakati Mungu alipoangamiza Sodoma na Gomora.+

  • Yeremia 50:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa sababu ya ghadhabu ya Yehova yeye hatakaliwa,+ naye atakuwa mahame yenye ukiwa.+ Na yeyote anayepita kando ya Babiloni, atatazama kwa mshangao na kupiga mluzi kwa sababu ya mapigo yake yote.+

  • Yeremia 50:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Kwa hiyo wakaaji wa maeneo yasiyo na maji watakaa pamoja na wanyama wenye kupiga mayowe, na mbuni watakaa ndani yake;+ na ndani yake yeye hatakaliwa tena kamwe, wala yeye hatakaa mahali popote kwa kizazi baada ya kizazi.”+

  • Yeremia 50:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 “Kama yalivyokuwa maangamizi ya Mungu juu ya Sodoma na Gomora+ na miji yake jirani,”+ asema Yehova, “vivyo hivyo hakuna mtu atakayekaa humo, wala mwana wa binadamu hatakaa humo akiwa mgeni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki