18 Kama ilivyotokea katika maangamizi ya Sodoma na Gomora na miji yake jirani,”+ Yehova amesema, “vivyo hivyo hakuna mtu atakayekaa hapo, na hakuna mwana wa binadamu atakayekaa ndani yake akiwa mgeni.+
26 “Na watu hawatachukua kutoka kwako jiwe la pembeni wala jiwe kwa ajili ya misingi,+ kwa sababu wewe utakuwa mahame yenye ukiwa mpaka wakati usio na kipimo,”+ asema Yehova.