Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 19:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndipo Yehova akanyesha kiberiti na moto kutoka kwa Yehova, kutoka mbinguni, juu ya Sodoma na juu ya Gomora.+

  • Kumbukumbu la Torati 29:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 kiberiti na chumvi+ na kuwaka,+ hivi kwamba nchi yake yote haitapandwa, wala kuchipuka, wala mmea wowote hautachipuka ndani yake, kama maangamizi ya Sodoma na Gomora,+ Adma+ na Seboiimu,+ ambayo Yehova aliangamiza katika hasira yake na katika ghadhabu yake;+

  • Amosi 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “ ‘Nilisababisha maangamizi kati yenu, kama maangamizi ya Mungu juu ya Sodoma na Gomora.+ Nanyi mkawa kama kipande cha mti kilichonyakuliwa kutoka motoni;+ lakini hamkurudi kwangu,’+ asema Yehova.

  • Waroma 9:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Pia, kama Isaya alivyokuwa amesema wakati uliotangulia: “Kama Yehova wa majeshi+ hangalituachia sisi uzao, tungalikuwa kama Sodoma, nasi tungalifanywa kama Gomora.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki