2 Kisha malaika+ wa Yehova akamwambia Shetani: “Yehova akukemee,+ Ee Shetani, ndiyo, Yehova akukemee, yeye ambaye analichagua Yerusalemu!+ Je, huyu si kipande cha mti kilichonyakuliwa kutoka motoni?”+
23 waokoeni+ kwa kuwanyakua kutoka katika moto.+ Lakini endeleeni kuonyesha wengine rehema, mkifanya hivyo kwa kuogopa, huku mkilichukia hata vazi la ndani ambalo mwili umelitia doa.+