Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Amosi 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “ ‘Nilisababisha maangamizi kati yenu, kama maangamizi ya Mungu juu ya Sodoma na Gomora.+ Nanyi mkawa kama kipande cha mti kilichonyakuliwa kutoka motoni;+ lakini hamkurudi kwangu,’+ asema Yehova.

  • Zekaria 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha malaika+ wa Yehova akamwambia Shetani: “Yehova akukemee,+ Ee Shetani, ndiyo, Yehova akukemee, yeye ambaye analichagua Yerusalemu!+ Je, huyu si kipande cha mti kilichonyakuliwa kutoka motoni?”+

  • Mathayo 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi, ikiwa mkono wako au mguu wako unakufanya ukwazike, ukate na kuutupa mbali nawe;+ ni afadhali uingie katika uzima ukiwa kilema au ukiwa kiwete kuliko kutupwa ndani ya moto wa milele ukiwa na mikono miwili au miguu miwili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki