Ezekieli 24:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “ ‘Kulikuwa na mwenendo mpotovu katika uchafu wako.+ Kwa sababu hiyo nililazimika kukusafisha, lakini hukuwa safi kutokana na uchafu wako.+ Hutakuwa safi tena mpaka nitakapoituliza ghadhabu yangu kwako.+ Hosea 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na kiburi cha Israeli kimeshuhudia mbele ya uso wake,+ nao hawakurudi kwa Yehova Mungu wao,+ wala hawakumtafuta kwa sababu ya hayo yote.+
13 “ ‘Kulikuwa na mwenendo mpotovu katika uchafu wako.+ Kwa sababu hiyo nililazimika kukusafisha, lakini hukuwa safi kutokana na uchafu wako.+ Hutakuwa safi tena mpaka nitakapoituliza ghadhabu yangu kwako.+
10 Na kiburi cha Israeli kimeshuhudia mbele ya uso wake,+ nao hawakurudi kwa Yehova Mungu wao,+ wala hawakumtafuta kwa sababu ya hayo yote.+