Yeremia 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo manyunyu mengi yamezuiwa,+ na hata mvua ya masika haikunyesha.+ Nawe umekuwa na paji la uso la mke anayefanya ukahaba. Umekataa kufedheheka.+ Hosea 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na kiburi cha Israeli kimeshuhudia mbele ya uso wake;+ na Israeli na Efraimu wamekwazwa katika kosa lao.+ Yuda pia amejikwaa pamoja nao.+
3 Kwa hiyo manyunyu mengi yamezuiwa,+ na hata mvua ya masika haikunyesha.+ Nawe umekuwa na paji la uso la mke anayefanya ukahaba. Umekataa kufedheheka.+
5 Na kiburi cha Israeli kimeshuhudia mbele ya uso wake;+ na Israeli na Efraimu wamekwazwa katika kosa lao.+ Yuda pia amejikwaa pamoja nao.+