Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hata Yuda hawakushika amri za Yehova, Mungu wao,+ lakini walianza kutembea katika sheria za Israeli+ ambazo walitunga.

  • Ezekieli 23:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Umetembea katika njia ya dada yako;+ nami nitalazimika kukitia kikombe chake mkononi mwako.’+

  • Amosi 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Yuda,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu wamekataa sheria ya Yehova,+ na kwa sababu hawakushika masharti yake mwenyewe; bali uwongo wao,+ ambao mababu zao walikuwa wametembea ndani yake, uliendelea kuwapoteza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki