4 “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Yuda,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu wamekataa sheria ya Yehova,+ na kwa sababu hawakushika masharti yake mwenyewe; bali uwongo wao,+ ambao mababu zao walikuwa wametembea ndani yake, uliendelea kuwapoteza.+