13 Nami nitanyoosha juu ya Yerusalemu kamba ya kupimia+ iliyotumika juu ya Samaria+ na pia timazi iliyotumiwa juu ya nyumba ya Ahabu;+ nami nitafuta+ kabisa Yerusalemu kama vile mtu anavyofuta kabisa bakuli lisilo na mkono, akilifuta kabisa na kulipindua.+
15 Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli ameniambia hivi: “Chukua kikombe hiki cha divai ya ghadhabu kutoka mkononi mwangu, nawe ukinyweshe+ mataifa yote ambayo ninakutuma kwao.
12 Naye akayatimiza maneno yake ambayo alikuwa amesema juu yetu+ na juu ya waamuzi wetu waliotuhukumu,+ kwa kuleta juu yetu msiba mkubwa, kwa maana yaliyofanywa Yerusalemu hayajapata kufanywa chini ya mbingu zote.+