2 Naye akawapiga Wamoabu+ pia na kuwapima kwa kamba, akiwalaza chini kwenye udongo, ili apime kamba mbili awaue, na kamba moja kamili ya kuwahifadhi hai;+ na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi+ wa kuleta ushuru.+
17 Nami nitaifanya haki kuwa kamba ya kupimia+ na uadilifu+ kuwa timazi; na mvua ya mawe+ itafagilia mbali lile kimbilio la uwongo,+ na maji yatafurika mahali pa maficho.+
11 Na mwari na nungunungu watammiliki, na bundi wenye masikio marefu na kunguru watakaa ndani yake;+ na yeye atanyoosha juu yake kamba ya kupimia+ ya utupu na mawe ya ukiwa.