Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akawapiga Wamoabu+ pia na kuwapima kwa kamba, akiwalaza chini kwenye udongo, ili apime kamba mbili awaue, na kamba moja kamili ya kuwahifadhi hai;+ na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi+ wa kuleta ushuru.+

  • Isaya 28:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nami nitaifanya haki kuwa kamba ya kupimia+ na uadilifu+ kuwa timazi; na mvua ya mawe+ itafagilia mbali lile kimbilio la uwongo,+ na maji yatafurika mahali pa maficho.+

  • Isaya 34:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na mwari na nungunungu watammiliki, na bundi wenye masikio marefu na kunguru watakaa ndani yake;+ na yeye atanyoosha juu yake kamba ya kupimia+ ya utupu na mawe ya ukiwa.

  • Maombolezo 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova amekusudia kuuharibu ukuta+ wa binti Sayuni.

      Amenyoosha kamba ya kupimia.+ Hakurudisha mkono wake usimeze.+

      Naye hufanya boma na ukuta kuomboleza.+ Zimedhoofika zote pamoja.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki