Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na hapo wakaaji wa maeneo yasiyo na maji hakika watalala, na nyumba zao zitajaa bundi-tai.+ Na hapo mbuni watakaa, na roho waovu wenye umbo la mbuzi watarukaruka hapo.+

  • Isaya 14:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Nami nitamfanya kuwa makao ya nungunungu na madimbwi ya maji yenye matete, nami nitamfagia kwa ufagio wa maangamizi,”+ asema Yehova wa majeshi.

  • Sefania 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na katikati yake, makundi yatalala yakiwa yamejinyoosha, wanyama-mwitu wote wa taifa.+ Mwari na nungunungu+ watakaa usiku kucha palepale kati ya kombe zake za nguzo.+ Sauti itakuwa inaimba dirishani. Kutakuwa na uharibifu kizingitini; kwa maana atafunua mbao za ukutani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki