Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na hapo wakaaji wa maeneo yasiyo na maji hakika watalala, na nyumba zao zitajaa bundi-tai.+ Na hapo mbuni watakaa, na roho waovu wenye umbo la mbuzi watarukaruka hapo.+

  • Yeremia 50:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Kwa hiyo wakaaji wa maeneo yasiyo na maji watakaa pamoja na wanyama wenye kupiga mayowe, na mbuni watakaa ndani yake;+ na ndani yake yeye hatakaliwa tena kamwe, wala yeye hatakaa mahali popote kwa kizazi baada ya kizazi.”+

  • Yeremia 51:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Tazama, mimi niko dhidi yako,+ Ee mlima wenye kuharibu,”+ asema Yehova, “wewe mwenye kuiharibu dunia yote;+ nami nitaunyoosha mkono wangu juu yako na kukuviringisha kutoka katika miamba na kukufanya kuwa mlima ulioteketezwa.”+

  • Yeremia 51:62
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 62 Nawe useme, ‘Ee Yehova, wewe mwenyewe umesema juu ya mahali hapa, kupakatilia mbali ili kwamba mkaaji+ yeyote asiwe ndani yake, mwanadamu wala mnyama wa kufugwa, bali pawe mahame yenye ukiwa mpaka wakati usio na kipimo.’

  • Ufunuo 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akapaaza kilio kwa sauti yenye nguvu,+ akisema: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka,+ naye amekuwa makao ya roho waovu na mahali pa kuvizia pa kila pumzi+ chafu na mahali pa kuvizia pa kila ndege mchafu na mwenye kuchukiwa!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki