Isaya 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na, tazama, sasa, linakuja gari la vita la watu, pamoja na jozi ya farasi wa vita!”+ Naye akaanza kusema: “Ameanguka! Babiloni ameanguka,+ na sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunja na kuziangusha chini!”+ Yeremia 51:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa ghafula Babiloni ameanguka, hivi kwamba amevunjwa.+ Pigeni mayowe juu yake.+ Chukueni zeri kwa ajili ya maumivu yake.+ Huenda akapona.” Ufunuo 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na mwingine, malaika wa pili, akafuata, akisema: “Ameanguka! Babiloni+ Mkubwa ameanguka,+ yeye aliyeyafanya mataifa yote yanywe kutokana na divai+ ya hasira ya uasherati wake!”+
9 Na, tazama, sasa, linakuja gari la vita la watu, pamoja na jozi ya farasi wa vita!”+ Naye akaanza kusema: “Ameanguka! Babiloni ameanguka,+ na sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunja na kuziangusha chini!”+
8 Kwa ghafula Babiloni ameanguka, hivi kwamba amevunjwa.+ Pigeni mayowe juu yake.+ Chukueni zeri kwa ajili ya maumivu yake.+ Huenda akapona.”
8 Na mwingine, malaika wa pili, akafuata, akisema: “Ameanguka! Babiloni+ Mkubwa ameanguka,+ yeye aliyeyafanya mataifa yote yanywe kutokana na divai+ ya hasira ya uasherati wake!”+