2 “Lihubirini jambo hilo kati ya mataifa na mlitangaze.+ Na mwinue ishara;+ mlitangaze. Msifiche jambo lolote. Semeni, ‘Babiloni ametekwa.+ Beli ameona aibu.+ Merodaki ameingiwa na hofu. Sanamu zake zimeona aibu.+ Sanamu zake za mavi zimeingiwa na hofu.’
44 Nami nitakaza fikira zangu juu ya Beli+ katika Babiloni, nami nitatoa katika kinywa chake kile ambacho amemeza.+ Na mataifa hayatamiminika kwake tena.+ Pia, lazima ukuta wenyewe wa Babiloni uanguke.+
52 “Kwa hiyo, tazama! siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitakaza fikira zangu juu ya sanamu zake za kuchongwa,+ na katika nchi yake yote aliyechomwa ataugua.”+