46Beli+ ameinama,+ Nebo amejikunja; sanamu+ zao zimekuwa za wanyama-mwitu na za wanyama wa kufugwa, mizigo yao, vifurushi, mzigo wa kulemea wanyama waliochoka.
2 “Lihubirini jambo hilo kati ya mataifa na mlitangaze.+ Na mwinue ishara;+ mlitangaze. Msifiche jambo lolote. Semeni, ‘Babiloni ametekwa.+ Beli ameona aibu.+ Merodaki ameingiwa na hofu. Sanamu zake zimeona aibu.+ Sanamu zake za mavi zimeingiwa na hofu.’