Yeremia 50:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nimekuwekea mtego nawe umekamatwa, Ee Babiloni, nawe mwenyewe hukujua jambo hilo.+ Ulipatikana na pia ukashikwa, kwa maana ulishindana na Yehova.+ Yeremia 50:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Kutokana na sauti ya kukamatwa kwa Babiloni, hakika dunia itaanza kutikiswa,+ na kati ya mataifa kilio kitasikiwa.”+ Yeremia 51:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa ghafula Babiloni ameanguka, hivi kwamba amevunjwa.+ Pigeni mayowe juu yake.+ Chukueni zeri kwa ajili ya maumivu yake.+ Huenda akapona.” Ufunuo 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na mwingine, malaika wa pili, akafuata, akisema: “Ameanguka! Babiloni+ Mkubwa ameanguka,+ yeye aliyeyafanya mataifa yote yanywe kutokana na divai+ ya hasira ya uasherati wake!”+
24 Nimekuwekea mtego nawe umekamatwa, Ee Babiloni, nawe mwenyewe hukujua jambo hilo.+ Ulipatikana na pia ukashikwa, kwa maana ulishindana na Yehova.+
46 Kutokana na sauti ya kukamatwa kwa Babiloni, hakika dunia itaanza kutikiswa,+ na kati ya mataifa kilio kitasikiwa.”+
8 Kwa ghafula Babiloni ameanguka, hivi kwamba amevunjwa.+ Pigeni mayowe juu yake.+ Chukueni zeri kwa ajili ya maumivu yake.+ Huenda akapona.”
8 Na mwingine, malaika wa pili, akafuata, akisema: “Ameanguka! Babiloni+ Mkubwa ameanguka,+ yeye aliyeyafanya mataifa yote yanywe kutokana na divai+ ya hasira ya uasherati wake!”+