Yeremia 48:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Moabu ameona aibu, kwa maana ameingiwa na hofu.+ Piga mayowe na kupaaza kilio. Tangazeni katika Arnoni+ kwamba Moabu ameporwa. Ufunuo 18:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Na wafalme+ wa dunia waliofanya uasherati pamoja naye na kuishi katika anasa isiyo na aibu watalia na kujipiga-piga wenyewe kwa huzuni juu yake,+ wanapoutazama moshi+ kutokana na kuungua kwake,
20 Moabu ameona aibu, kwa maana ameingiwa na hofu.+ Piga mayowe na kupaaza kilio. Tangazeni katika Arnoni+ kwamba Moabu ameporwa.
9 “Na wafalme+ wa dunia waliofanya uasherati pamoja naye na kuishi katika anasa isiyo na aibu watalia na kujipiga-piga wenyewe kwa huzuni juu yake,+ wanapoutazama moshi+ kutokana na kuungua kwake,