Yeremia 50:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Kutokana na sauti ya kukamatwa kwa Babiloni, hakika dunia itaanza kutikiswa,+ na kati ya mataifa kilio kitasikiwa.”+ Ezekieli 27:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Wakaaji wote wa visiwa+—hakika watakukazia macho kwa mshangao, nao wafalme wao wenyewe watalazimika kutetemeka kwa hofu.+ Nyuso zitaingiwa na wasiwasi.+
46 Kutokana na sauti ya kukamatwa kwa Babiloni, hakika dunia itaanza kutikiswa,+ na kati ya mataifa kilio kitasikiwa.”+
35 Wakaaji wote wa visiwa+—hakika watakukazia macho kwa mshangao, nao wafalme wao wenyewe watalazimika kutetemeka kwa hofu.+ Nyuso zitaingiwa na wasiwasi.+