Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 28:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “ ‘ “Moyo wako ulikuwa na majivuno kwa sababu ya urembo wako.+ Uliiharibu hekima yako kwa sababu ya fahari yako inayong’aa.+ Nitakutupa chini.+ Nitakuweka mbele ya wafalme, ili wakutazame.+

  • Ezekieli 32:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nami nitafanya vikundi vingi vya watu waingiwe na hofu+ kwa sababu yako, na wafalme wao watatetemeka kwa hofu kwa sababu yako wakati nitakapoutikisa upanga wangu usoni pao,+ nao watatetemeka kila dakika, kila mmoja kwa ajili ya nafsi yake mwenyewe, katika siku ya kuanguka kwako.’+

  • Ufunuo 18:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Na wafalme+ wa dunia waliofanya uasherati pamoja naye na kuishi katika anasa isiyo na aibu watalia na kujipiga-piga wenyewe kwa huzuni juu yake,+ wanapoutazama moshi+ kutokana na kuungua kwake,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki