Isaya 14:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitaenda juu ya mahali palipo juu pa mawingu;+ mimi nitajifananisha na Aliye Juu Zaidi.’+ Yeremia 8:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wenye hekima wameona aibu.+ Wameingiwa na woga nao watashikwa. Tazama! Wamelikataa neno la Yehova, nao wana hekima gani?+
9 Wenye hekima wameona aibu.+ Wameingiwa na woga nao watashikwa. Tazama! Wamelikataa neno la Yehova, nao wana hekima gani?+